TAGAZO MUHIMU SANA.

TANGAZO:NDG WAZAZI/WALEZI.

TUNAPENDA KUWATANGAZIA KUWA MUDA WA KULIPA MALIPO YA AWALI YA KUSHIKA NAFASI KWA AJILI YA KIDATO CHA KWANZA 2018 UMEISHA TANGU TAREHE 30 MWEZI WA TISA.

HIVYO KWA SASA WANACHUKULIWA WENGINE KUSHIKA NAFASI HIZO.

UKILIPA SASA BILA KUFIKA OFISINI HELA YAKO ITAPOTEA NA MTOTO HATOPOKELEWA.

KILA JEMA KATIKA UJENZI WA TAIFA.

IMETOLEWA NA UONGOZI WA SHULE.

Posted in News | Comentarios desactivados en TAGAZO MUHIMU SANA.

FORM ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2026

TUNAPENDA KUWATAARIFU KUWA FORM ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2025 ST. AUGUSTINE TAGASTE ZINAPATIKANA SHULENI, MAVURUNZA PARISH, TEMBONI, TAGASTE PARISH, MSIMBAZI CENTER DIRISHA NAMBA 2, 4, 9, 12, 22, 41, 44

MWANZA: PAROKIA YA MKOLANI,

MOROGORO:NYUMBA YA MT. AUGUSTINO KOLA

ARUSHA: SHULENI ST. MONICA MUSHONO

DODOMA: IGNATIUS PRE AND PRIMARY SCHOOL SWASWA

TAREHE ZA MITIHANI NI MWEZI SEPTEMBER, 16, 18,20

KARIBUNI NYOTE KWA ELIMU NA MALEZI YA WATOTO WETU.

ASANTE SANA.

Posted in News | Comentarios desactivados en FORM ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2026

MABADILIKO YA KUFUNGUA SHULE MID-TERM

  • UONGOZI WA SHULE YA MT. AUGUSTINO
  • UNAWATANGAZIA KWAMBA
  • SHULE ITAKUFUNGULIWA TAREHE 17,SEPTEMBER
  • KUANZIA SAA MBILI ASUBUHI MPAKA SAA
  • TISA ALASIRI.
  • YOTE NI KUTOKANA NA MABADILIKO TOKA WIZARANI

SAMAHANI KWA USUMBUFU.

 

 

Posted in News | Comentarios desactivados en MABADILIKO YA KUFUNGUA SHULE MID-TERM

TANGAZO MUHIMU KWA WALIOCHAGULIA KUJIUNGA FORM I 2026

TANGAZO KWA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2026

Ili kuthibitisha kuwa mwanao atafika yakupasa MZAZI/MLEZI ulipe malipo ya awali ya Tshs. 600,000/= kwa ajili ya nafasi hiyo. Lipa malipo hayo kabla ya tarehe 24 SEPTEMBA, 2025. Fedha hii itakuwa ni sehemu ya ada. Malipo hayo yafanyike kwenye BENKI YA CRDB, TAWI LOLOTE;

JINA LA AKAUNTI: THE ORDER OF ST. AUGUSTINE – TAGASTE,

AKAUNTI Na. 0150396191300.

Risiti ya Benki iletwe shuleni mara baada ya malipo ya benki. Isipoletwa shuleni na kukatiwa risiti ya shule, itaeleweka kuwa malipo hayakufanyika na nafasi yako itachukuliwa na mtu mwingine.

MUHIMU: Endapo mwanao hatafika shuleni, fedha hiyo haitarudishwa.

Pia ukilipa baada ya tarehe 24 September Mtoto hatopokelewa na pesa haitarudishwa.

Usipoilipia nafasi hii itachukuliwa na mtu mwingine na kuanzia tarehe 25 SEPTEMBER, 2025 hutakuwa na haki na nafasi hiyo.

UNAPOLETA RISITI KUMBUKA KUFIKA NA MTOTO KWA AJILI YA VIPIMO VYA SALE YA SHULE NA KUCHUKUA JOINING INTRUCTIONS.

Tunawatakia maandalizi mema na Karibuni sana St. Augustine Tagaste Secondary School

FIKA OFISINI UCHUKUE MAELEZO YA KUJIUNGA (JOINING INSTRUCTIONS)

Posted in News | Comentarios desactivados en TANGAZO MUHIMU KWA WALIOCHAGULIA KUJIUNGA FORM I 2026

BASKETBALL MATCH

ON 28 OF FEBRUARYTHERE WAS A Basketball
MATCH, FOR GIRLS

FORM I AGAINST FORM II,
THE RESULT WAS;
60 MINUTES 2-1 POINTS
SO THE WINNER WAS FORM II
CONGRATURATIONS TO FOR II GIRLS
FOR THEIR FIRST WIN AGAINST FORM I

Posted in News | Comentarios desactivados en BASKETBALL MATCH

FOOTBALL MATCH

ON 21 OF FEBRUARY

THERE WAS A FOOTBALL BOYS MATCH,
FORM I AGAINST FORM II,
THE RESULT WAS;
60 MINUTES 1-1
20 MORE MINUTES SAME 1-1
AT THE ENDTHE WINNER

WAS OBTAINED BY PENALTS
WHERE FORM II GOT 3
FORM I GOT 2
FINAL RESULTS WAS FORM II 4 AND FORM I 3
SO THE WINNER WAS FORM II

CONGRATURATIONS

TO FORM TWO FOR THEIR FIRST WIN

Posted in News | Comentarios desactivados en FOOTBALL MATCH

WELCOME BACK FORM II

END OF VACATIONS
HAPO TAREHE 18 TUNATARAJIA KUWAPOKEA KWA FURAHA
WANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI WANAO MALIZA LIKIZO YAO
TUNA WAKARIBISHA KWA FURAHA, TUKITUMAINI MMETUMIA VEMA
LIKIZO YENU, KATIKA KUJIFUNZA, KUWA SAIDIA WAZAZI NA KUPUMZIKA.
KARIBU SANA TUPATE ELIMU.

CHUKUA NA USOME.

Posted in News | Comentarios desactivados en WELCOME BACK FORM II

FORM I ARRIVAL(2015)

Kuwasili kwa kidato cha kwanza
Hapo tarehe 4 Januari 2015 wanafunzi
wapya wa kidato cha kwanza waliwasili
hapa shuleni wakisindikizwa na wazazi,
walezi, jamaa na marafiki,
ili kuja kuanza hatua nyingine ya maisha.
Uongozi wa shule uliwakaribisha na kuwaomba
waanze maisha mapya kwa furaha na upendo,
wakijua kwamba maisha yana mengi,
hivyo huzuni za kuachana na wazazi wao
zitazaa matunda hapo baadaye ya kupata Elimu na Malezi bora.
Tuanawatakia wanafunzi wote maisha mema katika Shule yetu.
Image
Posted in News | Comentarios desactivados en FORM I ARRIVAL(2015)

HEALTH

The Department of St. Augustine Secondary School
consists of one Matron who is a Nurse too and  one Nurse.
They are he one concerned with the health care of all students at the School.
Their main works are

First attention to the problems that may arise
during the stay at school such a as fever,
infectious debut processes.
The health Service here at School
will be under the  care of Matron that is to say,
all the students with health problems are supposed to report to matron,
and give her all medication  they  are taking.
Hence she will be the one controlling the time  of taking medicines

Posted in News | Comentarios desactivados en HEALTH

SIFA ZA PEKEE ZA SHULE

SIFA ZA PEKEE ZA SHULE

SHULE NI YA BWENI
SHULE NI YA MCHANGANYIKO(WAVULANA NA WASICHANA)
INA MAJENGO MAZURI NA YA KISASA
INAFUNDISHA MAADILI MEMA KWA WATOTO(KUMCHA MUNGU, UTU
MAHUSIANO MEMA, KUVAA MAVAZI YA HESHIMA, KUJIHESHIMU VITU VINGINE.
KUFUNDISHA ELIMU YA KUJITEGEMEA(KAZI ZA MIKONO, KUTUNZA VITU VYAO
NA VYA WATU WENGINE.

Image
Posted in News | Comentarios desactivados en SIFA ZA PEKEE ZA SHULE