TAGAZO MUHIMU SANA.

TANGAZO:NDG WAZAZI/WALEZI.

TUNAPENDA KUWATANGAZIA KUWA MUDA WA KULIPA MALIPO YA AWALI YA KUSHIKA NAFASI KWA AJILI YA KIDATO CHA KWANZA 2018 UMEISHA TANGU TAREHE 30 MWEZI WA TISA.

HIVYO KWA SASA WANACHUKULIWA WENGINE KUSHIKA NAFASI HIZO.

UKILIPA SASA BILA KUFIKA OFISINI HELA YAKO ITAPOTEA NA MTOTO HATOPOKELEWA.

KILA JEMA KATIKA UJENZI WA TAIFA.

IMETOLEWA NA UONGOZI WA SHULE.

Posted in News | Comentarios desactivados en TAGAZO MUHIMU SANA.

FORM ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2019

TUNAPENDA KUWATAARIFU KUWA FORM ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2018 ST. AUGUSTINE TAGASTE ZINAPATIKANA SHULENI, MAVURUNZA PARISH, TEMBONI, TAGASTE PARISH, MSIMBAZI CENTER DIRISHA NAMBA 9 NA NAMBA 12.

MWANZA: PAROKIA YA MKOLANI,

MOROGORO:NYUMBA YA MT. AUGUSTINO KOLA

ARUSHA: SHULENI ST. MONICA MUSHONO

TAREHE ZA MITIHANI NI MWEZI SEPTEMBER, 19, 21,23

KARIBUNI NYOTE KWA ELIMU NA MALEZI YA WATOTO WETU.

ASANTE SANA.

Posted in News | Comentarios desactivados en FORM ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2019

MABADILIKO YA KUFUNGUA SHULE MID-TERM

  • UONGOZI WA SHULE YA MT. AUGUSTINO
  • UNAWATANGAZIA KWAMBA
  • SHULE ITAKUFUNGULIWA TAREHE 17,SEPTEMBER
  • KUANZIA SAA MBILI ASUBUHI MPAKA SAA
  • TISA ALASIRI.
  • YOTE NI KUTOKANA NA MABADILIKO TOKA WIZARANI

SAMAHANI KWA USUMBUFU.

 

 

Posted in News | Comentarios desactivados en MABADILIKO YA KUFUNGUA SHULE MID-TERM

TANGAZO MUHIMU KWA WALIOCHAGULIA KUJIUNGA FORM I 2020

TANGAZO
Ili kuthibitisha kuwa mwanao atajiunga na shule yetu yakupasa mzazi/mlezi ulipe malipo ya awali ya Tshs. 600,000/= kwa ajili ya kutunziwa nafasi yako. Fedha hii itakuwa ni sehemu ya ada. Mwisho wa malipo hayo ni  tarehe 29(JUMAPILI) SEPTEMBER.
Malipo hayo yafanyike kwenye BENKI YA CRDB, TAWI LOLOTE; JINA LA AKAUNTI: THE ORDER OF ST. AUGUSTINE – TAGASTE, AKAUNTI NA. 0150396191300. Risiti ya Benki iletwe shuleni mara baada ya malipo ya benki. Isipoletwa shuleni na kukatiwa risiti ya shule, itaeleweka kuwa malipo hayakufanyika na nafasi yako itachukuliwa na mtu mwingine. Malipo hayo ni sehemu ya ada ya shule, endapo mwanao hatafika shuleni fedha hiyo haitarudishwa.
Tafadhari
FIKA OFISINI UCHUKUE MAELEZO YA KUJIUNGA (JOINING INSTRUCTIONS)
Posted in News | Comentarios desactivados en TANGAZO MUHIMU KWA WALIOCHAGULIA KUJIUNGA FORM I 2020

TANGAZO KWA WALIOTEULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2017

TANGAZO
Kuhusu Ongezeko la Muda kutokana na taarifa kutowafikia wahusika wote.
Ili kuthibitisha kuwa mwanao atafika yakupasa mzazi/mlezi ulipe malipo ya awali ya Tshs. 600,000/= kwa ajili ya kutunziwa nafasi yako. Fedha hii itakuwa ni sehemu ya ada. Mwisho wa malipo hayo ni tarehe 30(IJUMAA) SEPTEMBER.
Malipo hayo yafanyike kwenye BENKI YA CRDB, TAWI LOLOTE; JINA LA AKAUNTI: THE ORDER OF ST. AUGUSTINE – TAGASTE, AKAUNTI NA. 0150396191300. Risiti ya Benki iletwe shuleni mara baada ya malipo ya benki. Isipoletwa shuleni na kukatiwa risiti ya shule, itaeleweka kuwa malipo hayakufanyika na nafasi yako itachukuliwa na mtu mwingine. Malipo hayo ni sehemu ya ada ya shule, endapo mwanao hatafika shuleni fedha hiyo haitarudishwa.
Tafadhari
FIKA OFISINI UCHUKUE MAELEZO YA KUJIUNGA (JOINING INSTRUCTIONS)

Posted in News | Comentarios desactivados en TANGAZO KWA WALIOTEULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2017

NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2017

UPATIKANAJI WA FOMU:

Fomu za kujiunga na Kidato cha Kwanza mwaka 2017 zinapatikana sehemu zifuatazo:

  • DAR ES SALAAM: PAROKIA YA MAVURUNZA, TEMBONI, TAGASTE,
    • SHULENI ST. AUGUSTINE TAGASTE SEC SCHOOL,
    • MSIMBAZI CENTER DIRISHA NAMBA 12- NOMO SHOP NA DIRISHA NAMBA 09)
  • ARUSHA: ST. MONICA MOSHONO GIRLS SECONDARY SCHOOL
  • MWANZA: PAROKIA YA MKOLANI
  • MOROGORO: ST. AUGUSTINE HOUSE MLIMA KOLAKIPEPERUSHI  P1
Posted in News | Comentarios desactivados en NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2017

MITIHANI YA INTERVIEW 2016

TUNAPENDA KUWA TANGAZIA KWAMBA MITIHANI YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA HAPA ST. AUGUSTINE SEC SCHOOL,

ITAFANYIKA TAREHE 20, 22 NA 24, YOTE MWEZI HUU WA TISA.

CHUKUA NA USOME

KARIBUNI YOTE.

Posted in News | Comentarios desactivados en MITIHANI YA INTERVIEW 2016

BASKETBALL MATCH

ON 28 OF FEBRUARYTHERE WAS A Basketball
MATCH, FOR GIRLS

FORM I AGAINST FORM II,
THE RESULT WAS;
60 MINUTES 2-1 POINTS
SO THE WINNER WAS FORM II
CONGRATURATIONS TO FOR II GIRLS
FOR THEIR FIRST WIN AGAINST FORM I

Posted in News | Comentarios desactivados en BASKETBALL MATCH

FOOTBALL MATCH

ON 21 OF FEBRUARY

THERE WAS A FOOTBALL BOYS MATCH,
FORM I AGAINST FORM II,
THE RESULT WAS;
60 MINUTES 1-1
20 MORE MINUTES SAME 1-1
AT THE ENDTHE WINNER

WAS OBTAINED BY PENALTS
WHERE FORM II GOT 3
FORM I GOT 2
FINAL RESULTS WAS FORM II 4 AND FORM I 3
SO THE WINNER WAS FORM II

CONGRATURATIONS

TO FORM TWO FOR THEIR FIRST WIN

Posted in News | Comentarios desactivados en FOOTBALL MATCH

WELCOME BACK FORM II

END OF VACATIONS
HAPO TAREHE 18 TUNATARAJIA KUWAPOKEA KWA FURAHA
WANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI WANAO MALIZA LIKIZO YAO
TUNA WAKARIBISHA KWA FURAHA, TUKITUMAINI MMETUMIA VEMA
LIKIZO YENU, KATIKA KUJIFUNZA, KUWA SAIDIA WAZAZI NA KUPUMZIKA.
KARIBU SANA TUPATE ELIMU.

CHUKUA NA USOME.

Posted in News | Comentarios desactivados en WELCOME BACK FORM II